Tuesday, March 23, 2010

Mzungu anayecharaza wananchi viboko mbaroni


Gazeti Malengo Yetu toleo la leo limeripoti kuwa yule mzungu ambasye taarifa zake ziliwekwa katika blog hii kuwa amekatwa na vyombo vya dola na kuwa juhudui za kukamatwa kwa raia huyo wa kifgeni zimefanywa na gazeti hilo.

vizuri sana