Tuesday, February 16, 2010

Gazeti Malengo Yetu litakuwa mitaani kuanzia februari 23 mwaka huu

Wapenzi wa gazeti Malengo Yetu linalotolewa na Chama cha waandishi wa Habari Mkoani Kagera(KPC) litaanza kuonekana terna mitaani kuanzia februari 23 mwaka huu siku ya jumanne likiwa na marekebisho makubwa.

Gazeti hilo lilikuwa katika marekebisho yaliyotuchukua siku kadhaa bila kuonekana mitaani

Tuongeni mkono kwa kununua gazeti hilo ukiwa Kagera,Mara,Shinyanga,Mwanza na Kigoma

Imetolewa na
Uongozi
KPC

No comments:

Post a Comment