Thursday, August 26, 2010

Waandishi Kagera waanza ucgunguzi kwenye kata 30

Kufuatia waandishi wa Habari mkoani kagera,kupata fedha kutoka TMF sasa wameanza rasmi uchunguzi kutafuta chanzo cha wananchi katika wilaya ya Bukoba kutojiandikisha kwa wingi kupiga kura na hata wachache wanaojiandikisha kutojitokeza kwa wingi kupiga kura

Uongozi KPC unawatakia kazi njema

No comments:

Post a Comment