Thursday, December 17, 2009

Tuzo za Mwandishi Bora Tanzania 2009 Kagera Press Club itaambulia chochote ?

Wapendwa wanachma wa Kagaera Press Club pamoja na wadau wengine wanaosoma blog hii ni kuwa ile siku iliyosubiriwa sana na wadau wa habari ya kutanagzwa kwa waandishi bora wa mwaka 2009 iliyoandaliwa na baraza la Habari Tanzania(MCT) pamoja na vyama vingine vya waandishi na mfuko wa Tanzania Media Fund(TMF) itafanyika desemba 19,2009 katika jiji la Dar Es salaam.

kikubwa ni washiriki wa tuzo hizo kutoka Kagera Press Club waliowasilisha kazi zao za uchunguzi ni watano,mwanamke mmoja.

ngoja tusubiri kama watashinda tuzo husika.

tutawajulisha matokeo kupitia blog hii.

No comments:

Post a Comment