Wanachama wote wa Kagera Press Club mnatangaziwa kuwa mkutano mkuu wa mwaka uliokuwa ufanyike novemba 2009 sasa utafanyika februari 12,2010 kwenye ofisi za KPC.
Maelezo zaidi yatawekwa kwenye blog hii,kutumiwa barua na kupigiwa simu.
kwa waliooko bukoba mjini mnaweza kusoma tangazo la mkutano huo kwenye ubao wa matangazo wa KPC.
Imetolewa na
G.Makwabe
Mwenyekiti KPC
Friday, January 29, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment